Zaburi - Sura ya 123
1Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.
2Kama vile macho ya watumishi Kwa mkono wa bwana zao Kama macho ya mjakazi Kwa mkono wa bibi yake; Hivyo macho yetu humwelekea Bwana, Mungu wetu, Hata atakapoturehemu.
3Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu sisi, Kwa maana tumeshiba dharau.
4Nafsi zetu zimeshiba mzaha wa wenye raha, Na dharau ya wenye kiburi.

Swahili
Italiano (it-IT)
Português do Brasil (pt-BR)
Polski (PL)
Deutsch (Deutschland)
Français (France)
Español (España)
Українська Біблія у перекладі Огієнка
English Bible - 21ST CENTURY KING JAMES (KJ21)